Mwanamuziki kutoka Marekani ambaye kwa sasa anashikiliwa kwenye gereza la ‘Metropolian Detention Center’, Sean “Diddy” Combs ameripotiwa kugoma kula chakula anachopewa gerezani kwa ...
Kuna mwanamuziki nguli kutoka kule kunakovutwa bangi hadi zikaota vichwani alihojiwa na chombo cha habari cha kimataifa. Akasema ati alikataa kusoma sana kwa kuogopa kugeuka mjinga! Kila ...
Katika nyakati za mafanikio makubwa chini ya Sir Alex Ferguson, kiwango cha Manchester United kilikuwa juu sana, kupoteza mechi moja ilionekana kama janga kubwa, hayo ni maneno ya nahodha ...
Macho na masikio ya mashabiki wa soka nchini yanaelekezwa katika mchezo wa Dabi ya Mzizima kati ya Azam na Simba utakaopigwa kesho kwenye Uwanja wa New Complex Amaan Zanzibar kuanzia saa ...
MMOJA wa wachezaji wanaofanya vizuri Ligi Kuu Bara msimu huu ila hazungumzwi sana ni mshambuliaji wa Fountain Gate FC, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, kutokana na kiwango bora anachokionyesha.
Kiungo wa Yanga, Aziz Andabwile amesema wanafahamu kilichowahi kuwakuta mkoani Mbeya, Yanga alipopoteza mechi zake dhidi ya Ihefu kwa misimu miwili mfululizo, hivyo watakuwa makini na ...