Kampuni kubwa ya teknolojia ya Marekani ya Apple imezindua aina mpya za simu ya iPhone zilizo na vipengele vya teknolojia ya Akili Mnemba, AI. Aina hizo nne za iPhone 16 zilionyeshwa kwenye tukio ...
Kauli ya Massrali inajibu kilichozungumzwa awali na msemaji wa walinzi wa pwani wa China, Liu Dejun aliyeitaka Serikali ya Manila kuondoka haraka katika eneo hilo, vinginevyo China itaichukulia hatua.
Taarifa hiyo inasema pande hizo mbili pia zilikubaliana juu ya umuhimu wa mawasiliano ya mara kwa mara ya kijeshi na kufanya mipango kwa makamanda kufanya mazungumzo kwa njia ya simu.
Treni ilipopita kituo cha Nellie, aliamka na kugundua mkoba wake na simu yake ya mkononi vimeibiwa. Mwanawe alimkamata mwizi huyo kwa kutumia teknolojia ya Google ya kufuatilia ramani na kupata ...
Idhaa ya Kiswahili ya BBC sasa inatoa huduma ya wavuti maalum kwa ajili ya simu za mkononi (Swahili mobile news site). Huduma hii mpya inawewezesha watumiaji wa simu za mkononi kusoma taarifa za ...